Jumatatu, 27 Januari 2014

                







WAZIRI WA FEDHA WA SERIKALI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA SAADA KAMUYA ASEMA LAIVU SERIKALI HAINA PESA.
                  Hii haituingii hakilini mnavyotuambia serikali haina fedha wakati kuna wabunge wanajenga mahoteli mapya kila siku.Muwe na huruma jamani maisha ni magumu sana kwa mtanzania wa kawaida pesa ngumu,vitu vinapanda bei hivi tunaenda wapi jamani.Kwa mwendo huu naiyona Tanzania miaka ya mbele itavyokuwa hatari kwa sababu hata mwalimu J.K Nyerere alisema watanzania wakanyageni lakini watakapojua kwamba mnawakanyaga itakuwa balaa na ndio kitu kinaachoenda kutokea katika nchi yetu.Aya bana mi sina mengi ni hayo 2.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni