Jumatatu, 27 Januari 2014

HIVI NDIVYO ILVYOKUWA KATIKA KUMUAGA MUIGZAJI WA ISIDINGO LETTIE MATABANE.
Muigizaji wa isidingo lettie matabane afariki dunia na kuagwa na maelfu ya watu nchini south Africa.Hii inaonyesha ni jinsi gani wenzetu wanathamini waigizaji wao.R.I.P Lettie Matabane.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni