Jumatatu, 27 Januari 2014

                 DK SLAA AWASHA MOTO MAKAMBAKO MKOANI IRINGA.
Hii nikuonesha kwamba kampeni za chadema zinaanza kwa kasi kubwa san kutokana na mwitikio mkubwa wa watu mkoani iringa.Slaa akubalika sana makambako kutokana na sela zake alizozitoa siku hiyo.Hivi sasa chama cha demokrasia na maendelea kimeanza kampeni zake nyanda za juu kusini wakizunguka na helkopta ili kwenda sawa na muda na kuingia hata vijijini vya ndani kabisa na kutangaza sera zao.halaaaaaaaaa ni hayo 2.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni